WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI.

WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI.
kiungo : WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI.

soma pia


WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI.


Naibu Waziri Vijana, Ajira na Kazi Antony  Mavunde amevitoza faini viwanda viwili jumla ya shillingi Million 14.5 kiwanda cha Silafrika na kiwanda cha Azania Group  kutokana na kukiuka sheria za mahala pa kazi

Aidha, viwanda vilivyotozwa faini hiyo ni kiwanda cha Azania Group pamoja kiwanda cha kutengeneza bidhaa za plastiki Silafrika Tanzania kwa kutofuata sheria za  kazi, namba 5 ya mwaka 2004.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo amesema amevitoza faini viwanda hivyo kutokana na kukiuka sheria za kazi ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa vifaa kinga katika kampuni hizo.

Aidha ameipiga faini kampuni ya Azania jumla ya sh mill 9.5 kwa kutofuata sheria za masuala ya kazi kwa wafanyakazi wake ikiwemo kuwafanyisha kazi bila ya kuwa vifaa kinga pamoja na kutowapa mikaba ya kudumu.

Aidha amewaagiza maofisa kazi mkoa wa Dar es Salaam na Ofisa kazi Wilaya ya Temeke pamoja na wakala wa usalama mahala kazi, kukaa pamoja na wa ajira hao kupitia mikaba ya wafanyakazi hao ili kuhakikisha wanapata stahiki zao.

Hata hivyo, Mavunde amemtaka Mwajiri wa kampuni ya Azania kuhakikisha anawapatia mikataba na stahiki zao zote ikiwemo fedha za likizo,mifuko ya hifadhi jamii pamoja na kuwaunganisha katika vyama vya wafanyakazi

 Akitoa malalamiko mbele ya Naibu Waziri Mavunde,  mfanyakazi wa kampuni ya Silafrika, Hamis Ally amesema kuwa, Mwajiri wa kampuni hiyo amekua akiwafanyisha kazi bila kufuata utaratibu wa kazi ikiwemo kufanyishwa kazi zaidi ya masaa 12 bila malipo ya ziada.

Naye, Murshi Mahamoud ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya Azania kwa zaidi 12 bila kuajiriwa, huku akiwataka analipwa sh 7000 kwa siku, ambapo amedai hafahamu chochote kuhusu sheria za kazi na ajira.

 Amesema pamoja na  maelekezo aliyoyatoa kwa kampuni hiyo, ameipiga faini jumla sh mill 5 kwa kukosa kua na vifaa kinga wala sanduku la huduma ya kwanza hali inayohatarisha usalama wa wafanyakazi wanapokua kazini.


Hivyo makala WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI.

yaani makala yote WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/waziri-mavunda-avipiga-faini-ya-milioni.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MAVUNDA AVIPIGA FAINI YA MILIONI I4.5 VIWANDA KWA KUKIUKA SHERIA ZA KAZI."

Post a Comment