Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi

Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi
kiungo : Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi

soma pia


Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi


Wataalam wa afya wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) pamoja na wataalam wa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Lindi Sokoine wakiendelea kutoa huduma kwa wagonjwa na kuwajengea uwezo wataalam wa hospitali hiyo ili kupunguza rufaa za wagonjwa kwenda kutibiwa Muhimbili, endelea kufuatilia habari katika picha.

Daktari Bingwa wa macho kutoka Muhimbili Judith Mwende akimpima macho mgonjwa kwa kutumia mashine maalum ya kuangalizia Retina, kushoto ni Dkt. Mwita Machage wa Hospitali ya Rufaa mkoa wa Lindi Sokoine. 
Dokta Willybroad Massawe ambaye ni Dkt. wa upasuaji, pua, koo na masiko (kushoto) kwa kushirikiana na watalaam wengine wa MNH pamoja na wa hospitali ya Sokoine akimtoa mgonjwa matezi ya koo na matezi ya nyama ya pua (mafindofindo) upasuaji ambao huwa haufanyiki katika hospitali hiyo kutokana na ukosefu wa wataalam. 
Daktari Bingwa wa Patholojia kutoka MNH Innocent Mosha akifanya uchunguzi wa vivimbe ili kujua tatizo alilokuwanalo mgonjwa kwa ajili ya kuwasaidia Madaktari wa upasuaji kuendelea na tiba sahihi. 
Wataalam wa Muhimbili wakimfanyia upasuaji mgonjwa ambaye alikua akisumbuliwa na uvimbe. 


Hivyo makala Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi

yaani makala yote Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/wataalam-wa-afya-muhimbili-wanaendelea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wataalam wa Afya Muhimbili Wanaendelea kuwajengea Uwezo Wataalam wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Lindi"

Post a Comment