WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI.

WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI.
kiungo : WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI.

soma pia


WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI.



Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la kilimo Tanzania Bi Janeth Bitegeko akifunga semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Baraza la Kilimo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wanachama wa Baraza la Kilimo, ambapo miongoni mwa taasisi zilizoshiriki semina hiyo ambayo ni wanachama wa Baraza la Kilimo ni pamoja na TAMPRODA, SECO, SUWA Farmers Association, Agri link Tanzania na Morogoro Rural Agro Dealers Association, ambapo pamoja na masuala mengine amewataka wanachama hao kuhakikisha wanazingatia uongozi wa utawala bora pamoja na kuimarisha mawasiliano kiutendaji.mafunzo hayo ya siku mbili yamefanyika Dra es salaam.
Mkufunzi kutoka Baraza la Kilimo Tanzania Dkt Freddy Gamba akisisitiza kuhusu umuhimu wa watendaji kuzingatia mawasilaino sahihi, lakini kuzingatia uongozi wenye ueledi wakati wa kutekeleza majukumu yao, mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Baraza la Kilimo Tanzania yaliwahusisha wanachama wa Baraza la Kilimo yaliyokuwa yakilenga kuwafundisha uongozi na utawala bora.
Mwakilishi wa Taasisi ya Agri Link Tanzania ambayo pia ni mwanachama wa Baraza la Kilimo Tanzania Bw. Zephaniah Mugittu akiwaeleza wajumbe namna mafunzo hayo ya uongozi na utawala bora aliypoyapata yatakavyomsaidia kiutendaji, pamoja na masuala mengine ameushukuru uongozi wa Baraza la Kilimo kwa kuandaa mafunzo hayo kwa wanachama wake.
Afisa Uhamasishaji Maendeleo ya wanachama na Uhusiano Kimtandao kutoka Baraza la Kilimo Tanzania Bw Khalid Ngasa ( wa kwanza kulia )na washiriki wengine wa semina ya Uongozi na Utawala Bora, watendaji hao wameambiwa kuhakikisha wanazingatia mawasiliano sahihi katika ufanyaji kazi wao, bila kuathiri utendaji kazi wa taasisi.
Afisa Sera kutoka Baraza la Kilimo Tanzania Bi Neema Nyamubi ( kati kati ) na baadhi ya wanachama wa Baraza la Kilimo Tanzania wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Uongozi na Utawala bora, Mkufunzi wa Semina hiyo amewataka wanachama hao kuhakikisha wanatambua umuhimu wa kuwa na wajumbe wa bodi wenye uelewa wa sekta husika wanayofanyia kazi, mafunzo hayo ya siku mbili yaliratibiwa na Baraza la Kilimo Tanzania.


Hivyo makala WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI.

yaani makala yote WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/wanachama-wa-baraza-la-kilimo-tanzania.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WANACHAMA WA BARAZA LA KILIMO TANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI KATIKA UTENDAJI."

Post a Comment