Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya

Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya
kiungo : Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya

soma pia


Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya

Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, Balozi wa China Wang Ke pamoja na viongozi mbalimbali wakikata kike katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya iliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kati ya Tanzania na China iliyofanyika katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Balozi wa China nchini Tanzania Wang Ke akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kuhusiana na China kujihusiha katika masuala ya afya pamoja na ujenzi wa Hospitali uliofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga akizungumza  katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya na ushirikiano kati ya Tanzania  na China katika masualaya kidiplomasia , sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi  Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi akizungumza kuhusiana na mchango wa China katika Taasisi hiyo katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya yaliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi zawadi Balozi wa China nchini  Tanzania Wang Ke ikiwa Serikali ya Tanzania kutambua mchango wa China  katika hafla ya sherehe zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi zawadi Naibu Gavana wa Jimbo la Shadong Yuan Lini  ikiwa Serikali ya Tanzania kutambua mchango wa China  katika hafla ya sherehe zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja kati ya Mawaziri pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmad Salim. Picha na Chalila Kibuda


Hivyo makala Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya

yaani makala yote Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/tanzania-na-china-yasherekea-miaka-50.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya"

Post a Comment