title : Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya
kiungo : Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya
Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya
Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed Salim, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu,Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, Balozi wa China Wang Ke pamoja na viongozi mbalimbali wakikata kike katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya iliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kati ya Tanzania na China iliyofanyika katika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.Balozi wa China nchini Tanzania Wang Ke akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya kuhusiana na China kujihusiha katika masuala ya afya pamoja na ujenzi wa Hospitali uliofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga akizungumza katika sherehe za maadhimisho ya miaka ya 50 ushirikiano katika sekta ya afya na ushirikiano kati ya Tanzania na China katika masualaya kidiplomasia , sherehe hizo zimefanyika katika viwanja vya Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Profesa Mohamed Janabi akizungumza kuhusiana na mchango wa China katika Taasisi hiyo katika maadhimisho ya miaka 50 kati ya Tanzania na China katika Sekta ya Afya yaliyofanyika Ubalozi wa China jijini Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi zawadi Balozi wa China nchini Tanzania Wang Ke ikiwa Serikali ya Tanzania kutambua mchango wa China katika hafla ya sherehe zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akikabidhi zawadi Naibu Gavana wa Jimbo la Shadong Yuan Lini ikiwa Serikali ya Tanzania kutambua mchango wa China katika hafla ya sherehe zilizofanyika jijini Dar es Salaam.
Picha ya pamoja kati ya Mawaziri pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmad Salim. Picha na Chalila Kibuda
Hivyo makala Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya
yaani makala yote Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/tanzania-na-china-yasherekea-miaka-50.html
0 Response to "Tanzania na China yasherekea miaka 50 katika sekta ya afya"
Post a Comment