title : NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI
kiungo : NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI
NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI
MFUKO wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) umewapa mbinu bora za wazazi na walezi kuwapa zawadi muhimu watoto wao katika maisha yao ni kuwaingiza kwenye mpango wa Toto Afya kadi ili waweze kunufaika na huduma za matibabu.
Hayo yalisemwa na Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga Ally Mwakababu wakati akizungumza na wanafunzi na walezi kwenye mahafali ya nane ya darasa la Saba katika shule ya Kana Central English Medium Primary School.
Alisema wakati wa ukuaji wa watoto wamekuwa wakikumbana na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kupelekea kukwamisha ndoto zao lakini wanapokuwa wameandikishwa kwenye mpango wa Toto Afya Kadi wanaweza kupata matibabu kwenye vituo mbalimbali vya Afya.
“Nimekuja hapa kwa lengo kuu moja kuhamaisha umuhimu wa wazazi na walezi kuwapa zawadi ya Bima watoto wao kupitia mpango wa Toto Afya Kadi kwani hakuna anayweza kuelezea gharama za matibabu wakati mtoto wake anayweza kuungua”Alisema.
Hata hivyo alisema kwamba wazazi wanapowaingiza watoto wao kwenye mpango huo unawapa uhakika wa matibabu na wanaweza kuwa na kumbukumbu nzuri ya maisha yao .
Hivyo makala NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI
yaani makala yote NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/nhif-yatumia-maafali-ya-shule-ya-msingi.html
0 Response to "NHIF YATUMIA MAAFALI YA SHULE YA MSINGI KANA CENTRAL ENGLISH MEDIUM KUTOA ELIMU YA TOTO AFYA KADI"
Post a Comment