DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO.

DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO.
kiungo : DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO.

soma pia


DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO.

  Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akitembelea  majimbo yote ya Wilaya hiyo  kata kwa kata mtaa kwa mtaa,ambapo kwa Sasa yupo katika  Jimbo la Ilala, amewataka Watendaji na viongozi wote wa mitaa na madiwani kusikiliza na kutatua Kero za wananchi zinazo wakabili ili kufanikisha lengo la Serikali ya Awamu ya Tano.
 Akizungumza  Leo jijini Dar es salaam na wakazi wa Kisutu Pamoja na wafanyabiashara, katika ziara yake ya  24 amesema viongozi wa serikali za mitaa, kata hata ngazi za Wilaya kuwajibika kwa kuwahudumia wananchi wanapofika Ofisini na siyo kusubiri Hadi Viongozi wa ngazi za juu kufanya ziara.











DC  Mjema amesema katika Jimbo la Ilala kero kubwa migogoro ya ardhi,na wenye pesa kuwaonea wanyonge,utumiaji mbaya wa madaraka na rushwa  pamoja na viongozi kutowajibika katika maeneo yao kusikiliza wananchi.

Amesema ziara yake ni kutatua Kero za wakazi  katika wilaya ya Ilala,awali jimbo la Ukonga,Segerea na sasa ni zamu ya Jimbo la Ilala  na kwamba bado kata tano kumaliza kata zote 36.


Hivyo makala DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO.

yaani makala yote DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/10/dc-mjema-watendaji-na-viongozi-wenzangu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "DC MJEMA :WATENDAJI NA VIONGOZI WENZANGU TUWASIKILIZE WANANCHI WETU TUMSAIDIE RAIS AFANYE KAZI YA KULETA MAENDELEO."

Post a Comment