title : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA.
kiungo : WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA.
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela (katikati) na Mkuu wa Mjeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo kuelekea katika eneo kilipozama Kivuko cha MV Nyerere katika kisiwa cha Ukara wilayani Ukerewe, Septemba 21, 2018. Kivuko hicho kinatoa huduma kati ya Kisiwa cha Ukara ba JKisiwa cha Bugorola. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama eneo kilipozama Kivuko cha Mv Nyerere kinachotoa huduma kati ya kisiwa cha Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe wakati alipowasili kwenye kisiwa cha Ukara kujionea shughuli za uokoaji Septemba 21, 2018.
Hivyo makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA.
yaani makala yote WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-atembelea_22.html
0 Response to "WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA ENEO LA AJALI YA KIVUKO KATIKA KISIWA CHA UKARA, MWANZA."
Post a Comment