SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA

SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA
kiungo : SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA

soma pia


SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA


Serikali kwa kushirikiana na nchi ya Afrika ya Kusini imeanzisha programu ya Teknologia ya ubunifu katika sekta ya  Afya na kilimo jambo ambalo litasaidia kutoa ajira kwa vijana na  kuleta maendelea kwa Taifa.
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salamm na Mtafiti Mwandamizi Idara ya Sayansi Teknolojia na Ubunifu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Rodgers Msuya.

Dkt. Msuya amesema kuwa program hiyo itasaidia kuleta tija baina ya nchi hizo.

Amesema kuwa katika mahusiano hayo ya teknologia ya ubunifu katika nyanja ya Afya na Kilimo yanakua na tija katika maendeleo ya nchi ikiwa ni pamoja na kutoa ajira kwa  vijana.

"program hii inahusisha zaidi vijana katika kuendeleza mawazo yao ya kibunifu tunatarajia kupata ajira zaidi na pia mashirikiano kati ya nchi na nchi" amesema Dkt Msuya.

Dkt. Msuya ameongeza kuwa  katika sekta hizo mbili changamo zipo, huku akitoa mfano kwa upande wa Afya amesema kuna madoa mengi yanayogundulika na mengine hayagunduliki mahali popote na mengine yanakua yakitunzwa.

” lakini kuna vijana wengine wana mawazo mazuri sana katika ugunduzi mbalimbali  utakaoweza kuleta tija kwa nchi” ameongeza Dkt Msuya.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu Tume ya Sayansi Teknolojia na Ubunifu Dkt Amos Nungu amesema programu hiyo imewalenga zaidi vijana, watafanyakazi kwa pamoja kwa kubadilishana uzoefu katika sekta ya Kilimo na Afya ili kuweza kukabiliana na changamoto zilizopo katika sekta hizo.

” lakini tukubaliane kuwa Afrika ya Kusini wametushinda hatuko nao kiwango kimoja kiuchumi hata  kisayansi na teknolojia hivyo mashirikiano yataendelea kukuza eneo letu tulilobobea tutatumia Ubunifu kutatua changamoto “amesema Dkt Nungu.

Hata hiyo Dkt Nungu ameongeza kuwa baada ya apo wataitisha watafiti na wabunifu ili waweze kushindana kati ya Afrika ya Kusini na Tanzania watashirikiana kutatua moja ya changamoto ili mbinu waliyoitumia iweze kufanyakazi Tanzania na Afrika ya Kusini, huku akisema wanaweza kushirikiana kufanya kazi kati ya mbunifu na mtafiti kwa pamoja kwani programu hii imelenga pia wabunifu.

Nae mwakilishi Balozi Afrika ya Kusini Frans Van Aarda amesema nchi yao imesaidia programu hiyo ambayo itasaidia kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo katika sekta ya Afya na Kilimo pamoja na kusaidia vijana kupata ajira.

Semina hiyo imewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo watafiti, wabunifu walioko katika sekta ya Afya,na  Kilimo ili kubadilishana uzoefu katika nyanja ya sayansi na teknolojia na ubunifu ili kuona namna ya kutatua changamoto katika sekta ya Afya na Kilimo ,Semina ya siku mbili imeanza leo septemba 6 na inatarajiwa kumalizika  kesho.


Hivyo makala SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA

yaani makala yote SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/serikali-yaleta-program-ya-teknologia.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "SERIKALI YALETA PROGRAM YA TEKNOLOGIA YA UBUNIFU KUONGEZA WIGO WA AJIRA"

Post a Comment