MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI

MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI
kiungo : MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI

soma pia


MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI


Straika mwenye balaa la hatari kutoka Argentina na klabu ya FC. Barcelona, Lionel Messi, amesema tatizo moja ambalo limekuwa linamsumbua ni upigaji penati.

Nyota huyo ameeleza kuwa katika msimu huu atajaribu kulifanyia kazi zaidi ili kujiweka fiti kutokana na kushindwa kulitumia vema na ipasavyo tofauti na akipiga mipira ya Free KIKI ama Faulo.

Messi ambaye hakufanya vema na timu ya taifa lake la Argentina katika michuano ya Kombe la Dunia huko Urusi 2018, anaamini atajirekebisha na kuwa sawa ili kuendana na kasi aliyonayo sehemu zingine.

Mpaka sasa Messi amefanikiwa kuingoza Barcelona kushinda mechi zake tatu za mwanzo ambapo timu hiyo ina alama 9 ikiwa kileleni mwa ligi


Hivyo makala MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI

yaani makala yote MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/messi-afunguka-kinachomsibu-uwanjani.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MESSI AFUNGUKA KINACHOMSIBU UWANJANI"

Post a Comment