Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma.

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma.
kiungo : Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma.

soma pia


Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya kuchakata dagaa kutoka kwa mmoja wa wachakataji Bi. Mwajuma Bakari Shingo wakati alipotembelea mwalo wa Muyobozi uliopo wilayani Uvinza mkoani Kigoma. 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akipata maelezo ya kuchakata dagaa kutoka kwa mmoja wa wachakataji Bi. Mwajuma Bakari Shingo wakati alipotembelea mwalo wa Muyobozi uliopo wilayani Uvinza mkoani Kigoma. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali mtoto Athuman mwenye umri wa wiki mbili aliyelazwa katika kituo cha afya cha Uvinza, aliyembeba mtoto ni mama wa mtoto Esil Amour, Makamu wa Rais alitembelea kituo cha afya cha Uvinza ambapo kuna mradi wa upanuzi wa ujenzi wa kituo hicho
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wakazi wa kijiji cha Ruchugi kitongoji cha Kibaoni ikiwa sehemu ya ziara yake wilayani Uvinza mkoani Kigoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)



Hivyo makala Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma.

yaani makala yote Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/makamu-wa-rais-wa-jamuhuri-ya-muungano_10.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Aaza Ziara Yake Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma."

Post a Comment