MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA

MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA
kiungo : MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA

soma pia


MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Dodoma Mjini ambaye pia na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde wakati alipowasili kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kushuhudi mechi ya kirafiki kati ya Namungo FC ya Ruangwa na Dodoma FC, Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rashidi Mpemba  (kushoto) wa Dodoma FC  na  Bruno John wa Namungo FC   wakiwania mpira katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu. 
Rashidi Mpemba (kushoto) wa Dodoma FC akimiliki mpira huku akizongwa na Bruno John wa Namungo FC katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu.
Zahoro Pazi wa timu ya Dodoma FC (kulia) akimtoka Luka Kikoti wa Namungo FC katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu.
Rashidi Mpemba  (kushoto) wa Dodoma FC  na  Bruno John wa Namungo FC   wakiwania mpira katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya mpira wa miguu  ya Namungo FC ya  Ruangwa na Dodoma FC baada ya mchezo wa kirafiki kwenye uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Septemba 16, 2018. Timu hizo zilitoka suluhu.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA

yaani makala yote MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/majaliwa-ashuhudia-mechi-kati-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAJALIWA ASHUHUDIA MECHI KATI YA NAMUNGO FC NA DODOMA FC - UWANJA WA JAMHURI DODOMA"

Post a Comment