title : Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili
kiungo : Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili
Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili
Mwandishi nguli wa Kiswahili - Mohammed S Mohammed- aliwahi kupata tuzo mbalimbali na kuzawadiwa na Mwalimu Nyerere (1970) na Kenyatta (1973). Ingawa alichapisha vitabu vitatu tu Mohammed S Mohammed yumo ndani ya kundi la wanafasihi majabali - Shaaban Robert, Adam Shafi, Said Ahmed Mohammed, Euphrase Kezilahabi, nk. Baada ya zaidi ya miaka 40 vitabu vyake vipya vimetolewa upya na shirika la uchapishaji vitabu Nairobi, Sasa Sema Vitabu hivi ni Kiu, Nyota ya Rehema na Kicheko cha Ushindi ... Tungependa kufahamu yu wapi?
Hivyo makala Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili
yaani makala yote Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/kwa-simu-toka-london-vitabu-mahiri-vya.html
0 Response to "Kwa Simu toka London: VItabu Mahiri Vya Kiswahili"
Post a Comment