Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa

Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa
kiungo : Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa

soma pia


Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa

 Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mhe.Raya Issa Msellem akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na kukamilika Kwa matayarisho ya Mkutano wa 11 wa Baraza la Tisa, unaotarajiwa kufanyika wiki hii na kuwasilisha miswada ya Sheria Mitatu na kuwasilisha na Majibu 154 na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Miswada ya Sheria inayotarajiwa kuwasilishwa na Kusomwa Kwa mara ya Kwanza katika Mkutano wa mwezi wa Mei,2018 itakayosomwa katika Mkutano huu wa Kumi na Moja unaotarajiwa kufanyika tarehe19 September 2018.
i) Miswada wa Sheria Kuweka Masharti Bora ya Usimamizi wa Mahakama,Kufafanua Utumishi wa Mahakama,Kuazisha Ofisi za Mtendaji Mkuu wa Mahakama na Mrajis,Kuazisha Mfuko waMahakama na kuweka Mashartimengine yanayohusiana na hayo.
ii)Mswada wa Sheria ya Kuazisha Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu na kuweka Masharti ya ukaguzi wa Elimu pamoja na Mambo mengine yanayohusiana na hayo.
iii) Mswada wa Sheria ya Kuazisha Wakala wa Serikali wa Uchapaji Zanzibar na kuweka Masharti Bora yanayohusiana na kazi,uwezo,uongozi na Mambo mengine yanayohusiana na hayo.
Waandishi wa Habari wakifuatilia Mkutano huo.


Hivyo makala Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa

yaani makala yote Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/katibu-wa-baraza-la-wawakilishi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Raya Issa Msellem Azungumza na Waandishi wa Habari Zanzibar Kuhusiana na Mkutano wa 11 wa Baraza la Wawakilishi. la Tisa"

Post a Comment