Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.

Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.
kiungo : Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.

soma pia


Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.

Robo fainali Kombe la FA Zanzibar imetoka baada ya vilabu nane vilivyotinga hatua hiyo kukutana na kamati teule ya ZFA.
Ratiba ya Micuano ya FA Zanzibar inasomeka :-
Jumatano 26/09/2018 Black Sailors vs Malindi.
Alhamis 27/09/2018 KVZ vs Polisi
Ijumaa 28/09/2018 Mpapa vs Raska zone
Jumamosi 29/09/2018 KMKM vs Mlandege

Michezo yote hiyo itachezwa saa 10:00 za jioni katika Uwanja wa Amaan.
Tumezungumza na Abubakar Khatib Kisandu Msemaji wa kamati teule ya ZFA akitupa maandalzi kuelekea michezo hiyo.


Hivyo makala Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar.

yaani makala yote Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/hatua-ya-robo-fainali-michuano-ya-fa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Hatua ya Robo Fainali Michuano ya FA Cup Zanzibar."

Post a Comment