DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI.

DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI.
kiungo : DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI.

soma pia


DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI.




Na. John Luhende 
Mwambawahabari 
Mkuu Wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amewataka Mgambo wanaosimamia zoezi la usafi kutoa elimu Kwa wananchi badala ya kutumia nguvu Kwa kuwapiga wananchi na kuwatoza faini.

Mjema ameyasema hayo Leo Jijini Dar es salaam alipokuwa ziarani kuzungumza na wananchi wakata za Kiwalani na Minazi mirefu baada ya wananchi wengi Wa kata hizo kuzungumzia changamoto ya mgambo kutumia nguvu Kubwa.

Aidha DC Mjema Wa  amewataka watendaji Wa kata kufanya ukaguzi Wa usafi Katika nyumba za  wananchi badala ya kuwaruhusu mgambo kutekeleza jukumu hilo ambalo ni lakitaalamu.

Katika hatua nyingine  Mjema amemuagiza Mkurugenzi Wa taasisi ya kupambana na rushwa Takukuru  wilaya ya Ilala kufuatiliamradi wa ujenzi wa maji uliopo kata ya kiwalani ili kujirizisha na tatizo la rushwa Kwa kuwa mradi huo umeshindwa  kutekelezwa  Kwa wakati  kulingana na thamani ya fedha.

 DC Mjema pia  ametembelea  mradi wa soko katika  Kataya kiwalani na kuwataka wasimamizi Wa mradi huo kutekeleza mradi huo Kwa wakati.

Sanjari  na hayo Mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema amewataka wananchi wa kata ya kiwalani kuona umuhimu wa vikundi vya ulinzi shirikisho na kushirikiana nao ikiwemo kuwa wezesha kiuchumi kwa kulipamichango yao.

Akizungumza na wananchi wa kata hiyo DC Mjema amesema vijana hao wanafanya  kazi nzuri kwa kwa kulinda watu na malizao wakati wengine wakiwa wa me lala.

 Emmanuel Gabriel Mlaponi ni katibu wa vikundi vya ulinzi shirikishi  amesema wananchi hawana mwaka wa kutoamalipo na kufafanuakuwa maliponi  shilingi 1000 kilakaya kwa mwezi wanachangia  900,000 Kuna kaya 3490 kaya 1000 pekee ndo wameelewa wanachangia  wengine bado hawa changii.



Hivyo makala DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI.

yaani makala yote DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/dc-mjema-atoa-agizo-kwa-takukuru.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC MJEMA ATOA AGIZO KWA TAKUKURU KUCHUNGUZA MRADI WA MAJI, AONYA VIKALI MGAMBO WANAOPIGA WANANCHI KWA KISINGIZIO CHA USAFI."

Post a Comment