DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU

DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU
kiungo : DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU

soma pia


DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU


 Mkuu wa wilya ya Ilala Sophia MJEMA Akizungumza na wa Jennifer pamoja na WATUMISHI wa kituo cha Afya buguruni kwa Mnyamani. (Picha na John Luhende)

Mwambawahabari 
Na John Luhende
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema amekataa kupokea mradi wa ujenzi wa shule ya msingi  Buguruni mtaa wa Faru na kuwataka watendaji na wananchi walioandaa mradi huo  kuweka mchanganuo  vizuri ikiwemo  upatikanaji wa eneo la kutosha.

DC Sophia Mjema aliye vaakofia, akikagua ujenzi wa Kituocha Afya Buguruni kwa Myamani. 
DC Mjema ameyasemahayo leo wakati waziara yake kutembelea jimbo la segerea kusikiliza na kutatua keroza wananchi ,ambapo amesema eneo hilo liko kwenye makazi ya wananchi na kwamba bado halijakidhi viwango na masharti ya kujengwa shule .
“Sijasema nimeukataa moja kwa moja mradi huu ila naomba kaene muwekemaelezo yenu vizuri tuone gharama za mradi mzimama kufidia hizo nyumba kumi mlizo sema eneo lipimwe kasha tujiridhishe  hatakama mnajenga ghorofa eneo bado ni muhimu” alisema DC Mjema.
Kwaupande wake  mtendaji wa mtaa huo  Lucas Francis ,amemwambia mkuu wa Wilaya kuwa wananchi wa eneo hilo wanao uhitaji mkubwa wa shule nakwamba walikaa vikao na kupendekeza eneo hilo ambapo walikubalianabaadhi ya nyumba zitavunjwa na ilikupata eneokubwa zaidi.
“Mheshimiwa mkuu wa Wilaya wananchi walikaa vikao na kukubaliana kuwa kuna nyumba kumi zitavunjwa ili kuongeza eneo na mihutasari ipo pia mkurugenzi aliye pita alikuja   alsha wahinkuja kuliona eneo hili na tulishauriana kujenga majengo ya ghorofa kutokana na ufinyu wa eneo’’alisema
Katika hatuanyingine  DC Mjema amemwagiza mkurugezi kujenga  wa Manispaa ya Ilala kujenga uzio wa shule ya Msingi  Buguruni Kisiwani ilikuepuka mwigiliano wa wanafunzi na wananchi katika matumizi ya vyoo vya shule.
“Hivivyoo vimejengwa mbali na madarasa huku mtoto anaweza hata akapatwa natatizo lolote nawaomba muone namna ya kujenga uzio ilikuweka usalama kwa watoto na pia vinaweza kujaamapema kwani hata wananchi wanavitumia na huwezi kuvifunga kwamba kila mtoto anapotaka kujisaidia unampa funguo’’ alisema
DCmjema yukokatika mwendelezo wa ziarayake ya kutembelea  kata za Wilaya Ilala kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia majawabu ambapo alianza jimbo la Ukonga  na leo ameanza katika jimbo la Segerea


Hivyo makala DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU

yaani makala yote DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/dc-mjema-akataakupokea-mradi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC MJEMA AKATAAKUPOKEA MRADI, ATAKAKUPEWA ANDIKO LA MRADI WA SHULE BUGURUNI MTAA WA FARU"

Post a Comment