Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
kiungo : Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

soma pia


Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

Wataalam wa afya kutoka nchini Japan leo wametembelea hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kufanya mazungumzo na uongozi wa Hospitali hiyo. 
Katika mazungumzo yao watalaam hao wamepata fursa ya kubadilishana uzoefu wa utoaji huduma za afya na kujadiliana namna ambavyo wanaweza kushirikiana katika maeneo mbalimbali ya utoaji huduma . 
Mkurugenzi wa huduma za tiba Dkt. Hedwiga Swai amesema MNH ina mipango mbalimbali ya kuboresha huduma zake za ubingwa wa juu ikiwemo upandikizaji figo na kusisitiza kuwa huduma hiyo ni endelevu na imekuwa na mafanikio makubwa tangu ilipoanzishwa kwa mara ya kwanza nchini Novemba mwaka jana . 
“Lengo letu ni kuhakikisha huduma za kibingwa zinakuwa endelevu lakini pia kama hospitali mipango yetu ni kuanzisha huduma zingine mpya ambazo hapo awali hazikuwepo”amesema Dkt. Swai.
 Kwa upande wake Mkurugenzi wa huduma za tiba shirikishi Dkt. Praxeda Ogweyo amesema pamoja na mafanikio ambayo Muhimbili imepata lakini pia kuna changamoto ya upungufu wa watalaam katika maeneo mbalimbali ya utoaji huduma
 Wakurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) pamoja na wataalam wa afya kutoka Japan wakijadiliana juu ya utoaji wa huduma bora za afya .

 Mmoja wa wataalam kutoka  Japan Yoshio Mikamo akielezea ambavyo huduma za afya zinatolewa nchini humo.
 Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali vya Hospitali ya Taifa Muhimbili wakisikiliza  maelezo yanayotolewa na mtaalam huyo.

 Mkuu wa Idara ya Famasia MNH Deus Buma akiwaelezea wataalam hao kuhusiana na huduma za utoaji dawa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mara baada ya kutembelea moja ya  maduka ya dawa ya hospitali hiyo.

Meneja wa jengo la wagonjwa wa nje Sista June Samwel akifafanua  
huduma zinazotolewa katika jengo hilo


Hivyo makala Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili

yaani makala yote Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/wataalam-wa-afya-kutoka-japan.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Wataalam wa afya kutoka Japan watembelea Hospitali ya Taifa ya Muhimbili"

Post a Comment