WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA

WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA
kiungo : WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA

soma pia


WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA

NA FREDY MGUNDA IRINGA.

Wananchi 2,587 wa kijiji cha Lupembelwasenga Wilaya ya Iringa Vijijini wamekabidhiwa Hati za Hakimiliki ya Kimila chini ya Mradi wa LTA Uliofadhiliwa na wadau kutoka Marekani wa Feed the Future USAID.

Akizungumza wakati wa kukabidhi Hati hizo Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi  Angelina Mabula alisema kuwa katika miaka miwili ya utekelezaji,Mradi huo umeweza kutoa jumla ya Hati za Hakimiliki ya Kimila 35,286 katika vijiji 26.Mabula alisema kuwa hati hizo zitawasaidia kutenga maeneo kwa ajili ya matumizi mbalimbali kwa kuzingatia uwezo wa ardhi kuhimili idadi hiyo na kasi ya ongezeko la watu na mifugo kwa miaka mingi ijayo.

Mabula aliongezea kuwa,hatua hiyo itasaidia kupunguza migogoro ya ardhi kwa kuimarisha usalama wa miliki za ardhi na kuongeza thamani ambayo itawawezesha hata kukopesheka katika taasisi za kifedha zikiwemo benki.“Usajili wa ardhi ni muhimu kwasababu unaongeza ulinzi wa umiliki wa ardhi, unawezesha uwekezaji, unaongeza thamani ya ardhi na unapunguza migogoro ya ardhi,” alisema Mabula

Mabula aliupongeza mpango huo akisema utasaidia kupunguza eneo kubwa la ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ambayo haijapimwa.Aidha Mabula aliwaomba Feed The Future wautanue mradi huo angalau ufike umalize kupima vijiji vyote vya Halmashauri ya Wilaya ya Iringa  huku akivikumbusha vijiji vyote vya wilaya hiyo kuendelea kutoa ushirikiano kwenye miradi ambayo inasaidia kukuza maendeleo ya nchi. 
  Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi  Angelina Mabula akikabidhi hati za kimira kwa wananchi wa kijiji cha Lupembelwasenga Wilaya ya Iringa Vijijini  mkoani Iringa
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi  Angelina Mabula  akiwa na mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela,mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha mapinduzi CCM Ritta Kabati pamoja na viongozi wa LTA wakati wa ugawaji wa hati za kimila
Picha ya pamoja.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA>>>>>>>


Hivyo makala WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA

yaani makala yote WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/wananchi-2587-kijiji-cha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WANANCHI 2,587 KIJIJI CHA LUPEMBELWASENGA WAKABIDHIWA HATI MILIKI ZA KIMILA"

Post a Comment