Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia

Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia
kiungo : Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia

soma pia


Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia

Mwanamichezo kutoka Nchini Iran mnyanyua Vitu Vizito  Moradi alinyanyua kilo 189 kwenye kundi la kilo 94 la  wanaume na kuvunja rekodi ya kilo 188.

Raia wa Iran Sohrab Moradi amevunja rekodi ya kunyanyua uzani ambayo imekuwepo kwa miaka mingi na kushinda dhahabu kwenye mashindano ya Asia.
Moradi alinyanyua kilo 189 kwenye kundi la kilo 94 wanaume na kuvunja rekodi iliyokuwa imewekwa ya kilo 188 na Mgiriki Akakios Kakiasvilis mwaka 1999.
Fares Elbakh wa Qatar alichukua fedha huku Sumpradit Sarat wa Thailand akishinda shaba.
"Nilitaka sana kuvunja rekodi ya dunia kwa sababu ndiyo sikuwa nayo ni hii ilikikuwa fursa yangu ya mwisaho," alisema Moradi.
2Nina furaha sana kwa sababu jina langu litabaki kwenye rekodis za uzani wa kilo94."


Hivyo makala Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia

yaani makala yote Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/raia-wa-iran-avunja-rekodi-ya-miaka-19.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Raia wa Iran Avunja Rekodi ya Miaka 19 Kwenye Mashindano ya Asia"

Post a Comment