MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI

MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI
kiungo : MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI

soma pia


MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI

Bw. Salim Abri (ASAS) MNEC wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa akiwa katika picha ya pamoja na madiwani wa CCM walioshinda katika uchaguzi wa marudio Kata tano katika manispaa ya Iringa huku wakionyesha vyeti vyao baada ya kukabidhiwa vyeti hivyo vya uteuzi na Tume ya Uchaguzi leo mjini Iringa.

Madiwani hao wa kata 5 za manispaa ya Iringa Awali zilikuwa chini ya Utawala wa CHADEMA baada ya kujiuzuru nafasi zao za udiwania kupitia chama hicho CCM iliwateua tena kugombea katika uchaguzi wa marudio ambapo madiwani hao wameibuka washindi katika uchaguzi huo.
Bw. Salim Abri (ASAS) MNEC wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa akiwapongeza madiwani wa CCM walioshinda katika uchaguzi wa marudio Kata tano katika manispaa ya Iringa baada ya kukabidhiwa vyeti vyao vya uteuzi na Tume ya Uchaguzi leo mjini Iringa.
Bw. Salim Abri (ASAS) MNEC wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Iringa akiwa katika picha ya pamoja na madiwani wa CCM walioshinda katika uchaguzi wa marudio Kata tano katika manispaa ya Iringa baada ya kukabidhiwa vyeti vyao vya uteuzi na Tume ya Uchaguzi leo mjini Iringa na baadhi ya wabunge wa viti maalum CCM mkoa wa Iringa 


Hivyo makala MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI

yaani makala yote MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/mnec-salim-asas-awapongeza-madiwani-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MNEC SALIM ASAS AWAPONGEZA MADIWANI WA CCM WALIOSHINDA UCHAGUZI KATA 5 ZILIZOKUWA CHINI YA CHADEMA IRINGA MJINI"

Post a Comment