MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM.

MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM.
kiungo : MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM.

soma pia


MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM.



Mwambawahabari
Mbunge wa kuteuliwa na Rais Mhe Janeth Masaburi amewataka wakala wa baraba za mjini na Vijijini TARURA kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara ya Buguruni kwa myamani ili  kuondoa usumbufu wanao upata wanachi hasa wanao enda kutibiwa katika Kituo cha Afya Buguruni.
 Akizungumza wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM, mkoa wa Dar es Salaam, Masaburi pia amekagua barabara ya barakuda  eneo la highland baakuelekea Vingunguti na barabara yakitunda Kivule, Daraja la Kivule na ujenzi wa Daraja la kerezange na  pamoja na maeneo mbalimbali katika wilaya  Ilala na kuzitaka Mamlaka zinazohusika kuchukua hatua.

Janeth Masaburi   ambaye ni Mbunge wa mkoa wa Dar es Salaam, ameanza ziara ya Mkoa mzima kwaajili  ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, akiwa katika kituocha afya Buguruni ameutaka uongozi wa kituo hicho pamoja na kuwapongeza kwa huduma nzuri amewataka kuweka mikakati mathubuti kulikuboreshahuduma.





Hivyo makala MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM.

yaani makala yote MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/mbunge-janeth-masaburi-ahimiza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MBUNGE JANETH MASABURI AHIMIZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA DSM."

Post a Comment