Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar

Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar
kiungo : Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar

soma pia


Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar

 Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Chumu Kombo Khamis  akikunjuwa kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Makumbusho ya Mapinduzi katika Mnara wa Miaka 50 ya Mapinduzi Muembe Kisonge mjini Zanzibar.

 Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Chumu Kombo Khamis  wapili kulia akipatiwa maelezo na Mkuu wa Huduma za Elimu Makumbusho Mw.Ramadhan Ali Machano katika Ufunguzi wa  Makumbusho ya Mapinduzi katika Mnara wa Miaka 50 ya Mapinduzi Muembe Kisonge mjini Zanzibar.

 Mkurugenzi Muendeshaji wa ZSSF Sabra Issa Machano akitoa hotuba yake katika  Ufunguzi wa  Makumbusho ya Mapinduzi katika Mnara wa Miaka 50 ya Mapinduzi Muembe Kisonge mjini Zanzibar.

  Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Chumu Kombo Khamis akisisitiza jambo alipotoa hotuba ya Ufunguzi  wa  Makumbusho ya Mapinduzi katika Mnara wa Miaka 50 ya Mapinduzi Muembe Kisonge mjini Zanzibar.kulia yake ni Mkurugenzi Muendeshaji wa ZSSF Sabra Issa Machano na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ZSSF Dk,Suleiman Rashid.

Naibu Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Chumu Kombo Khamis katikati akiwa katika picha ya pamoja na waheshimiwa na Wafanyakazi wa ZSSF  katika   Ufunguzi wa  Makumbusho ya Mapinduzi katika Mnara wa Miaka 50 ya Mapinduzi Muembe Kisonge mjini Zanzibar.

PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.


Hivyo makala Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar

yaani makala yote Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/makumbusho-ya-mapinduzi-yafunguliwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Makumbusho ya Mapinduzi yafunguliwa Rasmi, Kisonge Mnarani Zanzibar"

Post a Comment