DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO

DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO
kiungo : DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO

soma pia


DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma bi. Sophia Kizigo alikerwa na uhaba wa maji katika mji wa Namtumbo na kuagiza mamlaka ya maji mjini Namtumbo kuanzisha mkakati wa makusudi kunusuru hali hiyo.

Akipokea taarifa za idara na vitengo kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe na Mh.Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Drt. John PombeMagufuli kuwa mkuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.

Aidha mkuu wa wilaya huyo alionesha kukerwa na uhaba wa maji katika mji wa Namtumbo na kuitaka mamlaka ya maji mjini Namtumbo kuanzisha mkakati wamaksudi ilikutatua tatizo la uhaba wa maji Mjini hapa.

Mohamedi Mmbaga kaimu Meneja wa mamlaka ya maji mjini Namtumbo (NAUWASA)alimwambia mkuu wa wilaya hiyo tatizo la uhaba w a maji huo linalotokana na miundombinu ya maji inayotegemewa ni ya kijiji na sio yawilaya.Bwana Mmbaga alidai mradi wa unaotumika mjiniNamtumbo ulijengwa mwaka 1981 ukihudumia vijiji vine ambavyo ni Libango,Suluti,NahoronaLuegu na kiasi cha maji kinachozalishwa ni mita zaujazo 1,211 kwa siku huku mita zaujazo 580 pekee kwa siku ndizo zinazofika na kutumika.

Mmbaga pia alidai kiasi hicho cha maji ni kidogo ukulinganisha na watu wanaohitaji huduma hiyo ni 40,697 mpaka sasa niwatu 8,932 ambao wanapata huduma hii sawa na asilimia 21 na kuwaachan watu 31,765 kukosa huduma hiyo.

Pamoja na hayo Mamlaka ya maj iMjin I Namtumbo kwa kushirikiana na Mamlaka ya maj I safi na usafi wa Mazingira manispaa ya Songea inatekeleza mradi wa maji mjini Namtumbo kwa kukarabat I bomba kuu umbali wa km.1.08 na pia ujenzi watenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa M135 ambapo mradi huo ulifikia asilimia 82 na utachangia ongezeko la maji kwa asilimia 14katika mji wa Namtumbo pamoja nautekelezaji wa mradi wa maji wa mto Rwinga ambao na utaongeza kiasi mita zaujazo 1000 kwasiku.

Wilaya ya Namtumbo ilitangazwa kuwa wilaya mwaka 2002 ambapo miundo mbinu ya maji katika mji wa Namtumbo ilikuwa ya vijiji na sasa ni makao makuu ya wilaya ambapo panaongezeko kubwa la watu wakihitaji huduma hiyo ya maji huku miundombinu ni ya mwaka 1981.


Hivyo makala DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO

yaani makala yote DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/dc-namtumbo-akerwa-na-uhaba-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "DC NAMTUMBO AKERWA NA UHABA WA MAJI,AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI KUANZISHA MKAKATI WA KUNUSURU HALI HIYO"

Post a Comment