Zamfuko kutua mbao fc

Zamfuko kutua mbao fc - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Zamfuko kutua mbao fc, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Zamfuko kutua mbao fc
kiungo : Zamfuko kutua mbao fc

soma pia


Zamfuko kutua mbao fc

Na Agnes Francis, globu ya jamii.

Hatimaye klabu ya mbaofc wamefanikiwa kuinasa saini ya mchezaji  Zam Elias Zamfuko aliyekuwa akichezea timu ya Afrikan  Lyon.

Katika makubaliano baina yao kiungo mkabaji  huyo ataitumikia klabu hiyo yenye makao makuu kanda ya ziwa  mkoani mwanza kwa misimu miwili.

Klabu hiyo iliyomaliza msimu wake kwa kusua sua kwa sasa imefikisha jumla ya wachezaji 3 katika muendelezo wa usajili wake.

Ni katika harakati za kujiandaa na msimu ujao wa vodacom Tanzania bara  (VPL) 2018-2019 inayotarajia  kuanza hivi karibuni.
Kiungo mkabaji zam Elias Zamfuko alietokea african lyon akiwa ameshikilia jezi ya waajiri wake wapya  mbao fc baada ya kusaini  mkataba miwili  katika klabu hiyo.


Hivyo makala Zamfuko kutua mbao fc

yaani makala yote Zamfuko kutua mbao fc Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Zamfuko kutua mbao fc mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/zamfuko-kutua-mbao-fc.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Zamfuko kutua mbao fc"

Post a Comment