Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO

Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO
kiungo : Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO

soma pia


Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (kulia) akipokelewa na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), Cyprian Luhemeja wakati Waziri huyo alipotembea shirika hilo mara baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa wizara hiyo.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (kulia) akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wakati alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO) wakimsikiliza Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (hayupo pichani) wakati waziri huyo alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuuwa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), Cyprian Luhemeja akitoa taarifa ya shirika hilo kwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (hayupo pichani) wakati waziri huyo alipotembelea shirika hilo jana jijini Dar es Salaam. Picha na MAELEZO.


Hivyo makala Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO

yaani makala yote Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/waziri-wa-maji-atembelea-shirika-la.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Waziri wa Maji atembelea Shirika la Maji DAWASCO"

Post a Comment