title : Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)
kiungo : Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)
Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)
Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (katikati) akisikiliza maelezo kutoka kwa Bi. Mindi Kasiga Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, alipotembelea banda la Wizara.
Mhe. Mahiga akisikiliza maelezo kutoka kwa watumishi wa Wizara kwenye maonesho ya biashara ya kimataifa
Mhe. Mahiga akiwa kwenye banda la kituo cha kumbi za mikutano cha kimataifa (AICC) kwenye maonesho ya biashara ya sabasaba. Mbele yake ni baadhi ya watumishi wa kituo hicho.
Mhe. Mahiga akikabidhiwa zawadi ya mchoro na Bibi Hoyce Temu kutoka Kitengo cha Mawasiliano cha Umoja wa Mataifa (UN). Waziri Mahiga alitembelea banda la UN kwenye maonesho ya sabasaba na kupata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini.
Hivyo makala Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)
yaani makala yote Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba) mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/waziri-mahiga-atembelea-maonesho-ya-42.html
0 Response to "Waziri Mahiga atembelea maonesho ya 42 ya biashara ya kimataifa (Sabasaba)"
Post a Comment