title : WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR
kiungo : WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR
WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR
Wanafunzi wa shule ya mshingi Bunju 'A' wakiwa wakiangalia mabaki ya basi la Dar Express lililoteketea kwa moto jana usiku katika eneo la Bunju, jijini Dar es salaam wakati likiwa njiani kutokea Jijini Arusha. katika tukio hilo kakukuwa na mtu aliyepoteza maisha wala majeruhi bali ni mali za baadhi ya abiria ndio ziliteketea. Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa ni moja ya tairi ambayo ilipasuka lakini haikubadilishwa hili iliweza kushika moto.
Wanafunzi hao wakiendelea kuiatazama basi hiyo baada ya kuteketea kwa moto.
Hivyo makala WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR
yaani makala yote WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/wanafunzi-waishangaa-basi-iliyoteketea.html
0 Response to "WANAFUNZI WAISHANGAA BASI ILIYOTEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR"
Post a Comment