Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene

Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene
kiungo : Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene

soma pia


Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene

 Mshindi mkuu wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Tusua mapene, Jackson A. Mwankemwa (51) ambaye ni mkazi wa  kijiji cha Msasani, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi  290,409,580 na mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia) wakati wa  hafla iliyofanyika makao makuu ya Vodacom jijini Dar es Salaam jana, katikati ni  afisa kitengo cha Kidijitali na Huduma za ziada  wa kampuni hiyo Furaha Limu.
 Mshindi mkuu wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Tusua mapene, Jackson A. Mwankemwa (51)  ambaye ni mkazi wa  kijiji cha Msasani, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi  290,409,580 na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia)  huku akishuhudiwa na familia yake (wa pili kutoka kulia) ni dada yake Rose Mwankemwa, Togile Sampegete na mtoto wake wa mwisho Erick Jackson wakati wa hafla iliyofanyika makao makuu ya Vodacom Tanzania Plc jijini Dar es Salaam. Kushoto ni  Afisa  wa kitengo cha Kidijitali na Huduma za ziada  wa kampuni hiyo, Furaha Limu.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mara baada ya kumkabidhi  mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 290,409,580 mshindi mkuu wa promosheni ya Tusua mapene awamu ya kwanza, Jackson A. Mwankemwa (51)  ambaye ni mkazi wa  kijiji cha Msasani, wilayani Rungwe mkoani Mbeya.



Hivyo makala Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene

yaani makala yote Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/vodacom-tanzania-yakabidhi-zawadi-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Vodacom Tanzania yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Sh. 290 M za Tusua Mapene"

Post a Comment