title : Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya.
kiungo : Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya.
Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya.
Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya.
Bw Obama amekuwa kwenye hifadhi ya taifa ya Serengeti kwa usiri mkubwa, ingawa ilifahamika kwamba angewasili nchini Kenya na kuhudhuria sherehe ya uzinduzi wa kituo kimoja cha hisani eneo alikozaliwa babake Kogelo, Siaya magharibi mwa Kenya.
Msemaji wa serikali ya Tanzania ameandika kwenye Twitter: "Rais Mstaafu wa Marekani @BarackObama amehitimisha mapumziko ya siku 8 pamoja na familia yake katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti nchini."
Baada ya kuwasili, alikutana na Rais Uhuru Kenyatta na baadaye akakutana na kiongozi wa upinzani Raila Odinga.
Obama na wageni wake watahudhuria uzinduzi wa Sauti Kuu, Shirika lisilokuwa la kiserikali la kuwawezesha vijana lililoanzishwa na dadake wa kambo Auma Obama katika eneo la Kogelo kaunti ya Siaya siku ya Jumatatu.
Hivyo makala Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya.
yaani makala yote Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/rais-mstaafu-wa-marekani-barack-obama_15.html
0 Response to "Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama amehitimisha ziara yake nchini Tanzania ambayo ilikuwa ya mapumziko na kuelekea Kenya."
Post a Comment