POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI

POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI
kiungo : POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI

soma pia


POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI

*Ni katika ajali iliyoua watu watano, kujeruhi mmoja jana usiku
 

Na Said Mwishehe, Globu ya jamii

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mbeya amethibitisha kufariki dunia kwa watu watano baada ya kutokea ajali ya kugongana  magari matatu jana usiku na kinachoendelea asubuhi ya leo ni kuiondoa miili ya watu wawili ambayo imeng'ang'ania katika gari.

Ajali hiyo imetokea jana usiku katika eneo la Mlima Igawilo nje kigogo ya Mji wa Mbeya Mjini na kusababisha video vya watu hao. 

Akizungumza na Michuzi Blog kwa njia ya simu asubuhi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya  Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi,Urich Matei amesema katika ajali hiyo wote waliofariki ni wanaume na kwamba watu watatu walifanikiwa ukitoa miili yao eneo la ajali na kuipeleka chumba cha kuhifadhia maiti. 

"Kwa sasa asubuh hii tupo eneo ambao ajali imetokea kwani kuna miili ya watu wawili bado tunahangaika kuitoa katika gari. Imekandamizwa ndani ya gari ndogo aina ya Noah  ambayo ililaliwa na kontena. 

"Hivyo tunaendelea kuitoa miili ya watu hawa.Idadi ya watu waliokufa ni watano na majeruhi mtu mmoja. Chanzo cha ajali imetokana na lori ambalo limebeba kontena kufeli breki na kusababisha gea boksi kukatika na hivyo kupoteza muelekeo,"amesema Kamanda. 


Hivyo makala POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI

yaani makala yote POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/polisi-mbeya-wanapambana-kuinasua-miili.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "POLISI MBEYA WANAPAMBANA KUINASUA MIILI YA WATU WAWILI ILIYONG'ANG'ANIA KATIKA GARI"

Post a Comment