MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI

MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI
kiungo : MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI

soma pia


MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI

 Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Idd Hassan Kimanta ametembelea waathirika wa janga la moto huko katika kijiji cha Irerendeni kata ya Engaruka akiwa amefuatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Julias Kalanga 
Kwenye ziara hiyo viongozi hao walijionea adha iliyokumba wafanyabishara hao kwa kuunguliwa na vibanda vyao vya maduka  kwa moto ulioanza tarehe 17.07.2018 saa saba usiku na kudumu kwa saa tano na kuleta athari kubwa na kifo kwa mfanyabiashara mmoja aliyejulikana ka kwa jina la Siriel massawe ambaye umauti ulimkuta baada kuzidiwa na moto mkubwa ndani. 
Jumla ya maduka saba yaliteketea kwa moto na Mkuu wa wilaya aliwapa pole sana waathirika na kuwataka kuwa watulivu wakati vyombo vya ulinzi vikifanya uchunguzi.  
Pia kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Monduli imeahidi kutoa mkono wa pole Tsh.200.000/= kwa kila mfanyabiashara na kuwalipia madeni ya Mikopo yao waliokopa kwenye taasisi za kifedha baada uhakiki mikopo yao.  
  Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe. Idd Hassan Kimanta (mwenye fimbo) akikagua madhara ya moto uliotokea katika kijiji cha Irerendeni kata ya Engaruka akiwa amefuatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Julias Kalanga 
 Sehemu ya eneo likionesha madhara ya moto uliotokea katika kijiji cha Irerendeni kata ya Engaruka akiwa amefuatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Julias Kalanga 
 Madhara ya moto huo
Mkuu wa wilaya ya Monduli Mhe.Idd Hassan Kimanta akitoa maelekezo na kuwapa pole kwa waathirika wa  madhara ya moto uliotokea katika kijiji cha Irerendeni kata ya Engaruka akiwa amefuatana na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na Mbunge wa Jimbo la Monduli Mhe.Julias Kalanga 


Hivyo makala MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI

yaani makala yote MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/mkuu-wa-wilaya-ya-monduli-akagua.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKUU WA WILAYA YA MONDULI AKAGUA MADHARA YA MOTO ULIOTEKETEZA BIASHARA KADHAA KIJIJI CHA IRERENDENI"

Post a Comment