MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO

MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO
kiungo : MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO

soma pia


MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye ukumbi wa mkutano tayari kuhudhuria ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) katika mji Nouakchott, Mauritania ambako anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye ukumbi wa mkutano tayari kuhudhuria ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) katika mji Nouakchott, Mauritania ambako anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika Mhe. Stephen Masele (MB) wakati ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) katika mjiNouakchott, Mauritania Makamu wa Rais anamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO

yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/makamu-wa-rais-ahudhuria-ufunguzi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "MAKAMU WA RAIS AHUDHURIA UFUNGUZI WA MKUTANO WA 31 WA AU CHINI MAURITANIA LEO"

Post a Comment