MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA

MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
kiungo : MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA

soma pia


MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA


Afisa Habari wa Ofisi ya Bunge Ndg. Deonisius Simba akitoa Elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea banda la Bunge la Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam
Naibu Mpambe wa Bunge (DSA) Ndg Peter Magati akitoa Elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea banda la Bunge la Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam 

Afisa Utumishi wa Ofisi ya Bunge Ndg. Twaha Said pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Kamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein wakitoa Elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea banda la Bunge la Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam
Mshauri wa mambo ya Sheria kutoka Ofisi ya Bunge Ndg. Mariam Mbaruku pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Habari Ofisi ya Bunge Ndg. Zuhura Mtatifikolo wakitoa Elimu kwa Wageni mbalimbali waliotembelea banda la Bunge la Tanzania katika Maonyesho ya 42 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam 



Hivyo makala MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA

yaani makala yote MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/maafisa-wa-bunge-waendelea-kutoa-elimu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAAFISA WA BUNGE WAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONYESHO YA SABASABA"

Post a Comment