- Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
kiungo :

soma pia


Image may contain: 2 people, people sitting

Image may contain: 4 people, including Amana David, people smiling, people standing
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndugu Mwl. Raymond Mwangwala amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya NDI nchini Bi Sandy Quimbaya  ofisi ndogo za UVCCM Upanga jijini Dar es Salaam mapema leo Julai 05, 2018.

Katika mazungumzo yao wamekubaliana kushirikiana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo Vijana kiuongozi, kisiasa, matumizi ya teknolojia, ushiriki wa vijana katika kutunza umani na usalama wa nchi.

 #TukutaneKazini


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/07/katibu-mkuu-uvccm-taifa-ndugu-mwl.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment