WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO

WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO
kiungo : WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO

soma pia


WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
 Mkurugenzi wa Shughuli za Kitakwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Mr. Irenius Ruyobya akizungumza leo wakati wa ufunguzi wa Warsha ya Siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
 Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari walioshiriki katika warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) pamoja na Wahariri wa Vyombo vya Habari walioshiriki kwenye warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ili kuwajengea wahariri wa vyombo vya Habari uwezo wa kuripoti taarifa mbalimbali za Kitakwimu.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua warsha ya siku mbili ya Wahariri wa Vyombo vya Habari iliyofanyika mkoani Morogoro.
(Picha Na Emmanuel Ghula)



Hivyo makala WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO

yaani makala yote WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/waziri-mwakyembe-afungua-warsha-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WAZIRI MWAKYEMBE AFUNGUA WARSHA YA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI MKOANI MOROGORO"

Post a Comment