WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA

WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA
kiungo : WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA

soma pia


WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA

JOSEPH  MPANGALA -  MTWARA     
Kamanda ya Polisi Mkoa wa Mtwara DCP Lucas Mkondy ametoa wiki mbili kwa wananchii wote wanaomiliki Silaha Bila ya kuwa na Kibali kuhakikisha wanasalimisha Silahahizo katika kituo chwa Polisi au Ofisi ya serikali ya Mtaa na Kijiji  Kabla ya Kuanza Msako wa Nyumba kwa Nyumba.
Zoezi hilo Linakuja baada ya kuonekana kuwa silaha hizo zinatumika kwa uwindaji haram ambapo wanyama mbalimbali wamekuwa wakiripotiwa kuuwawa kwa kitumia silaha zisizotambulika.
Akiongea na waandishi wa Habari Mkoani Mtwara kamanda wa polisi mkoa wa Mtwara DCP Lucas Mkondya amewaomba wenyeviti wa kijiji na mtaa kuhakikisha wanatangazia wananchii wanaowaongoza ilikuweza kusalimisha silaha hizo.
”Tunawapa wiki mbili watu wanaomiliki silha kiunyume na taratibu za kisheria waziwasilishe vituo vya poli au ofisi za serikali za mitaa Tunaanza Msako mkali wa nyumba kwa nyumba  lakini pia nitoe ombi kwa watendaji wa serikali ya vijiji  kuhakikisha kwamba watu wote wanaomiliki silaha kinyume na taratibu  wawatangazie wazisalimishe wazisalimishe hizo silaha Tukikama Silaha katika kijiji chochote basi mwenyekiti au mtendaji au mwenyekiti wa taa katika eneo hilo naye tutamuwajibisha”
Wakati huo huo Jeshi la Polisi Linawashikilia  watu  11 kwa Tuhuma za  wizi wa pikipiki 7 ambao walikamatwa maeneo mbalimbali na nyingine zikitokea Mikoa ya Lindi,Ruvuma pamoja na  Mtwara.

“Nitoe wito kwa wananchii wote ambao walioibiwa Pikipiki waje wazitambue hizi pikipiki ili tuweze kukamilisha Taratibu za kiupelelezi na kuwafikisha mahakamani ,Watuhumiwa hawa wote tupo nao Tunaendelea kuwahoji kuhakikisha kwamba tumesambaratisha kabisa mtandao wa wizi wa pikipiki katika Mkoa wa Mtwara”amesema kamanda Mkondya.
kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara DCP Lucas Mkondya akionesha Pikipiki saba zilizokamatwa baada ya Msako wa jeshi la Polisi


Hivyo makala WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA

yaani makala yote WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/watakiwa-kusalimisha-silaha.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WATAKIWA KUSALIMISHA SILAHA"

Post a Comment