TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA

TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA
kiungo : TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA

soma pia


TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA

 
 Mwamba wa habari
Majogoo ya Ufaransa wamefanikiwa kuibuka na ushindi katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Urusi  kwa kuilaza  Australia goli 2-1

Mabao ya mchezo huo yametiwa kimiani na Antoine Griezmann katika dakika ya 58 kwa njia ya mkwaju wa penati na la pili likitiwa kimiani na Paul Pogba .

Bao pekee la Australia liliwekwa wavuni na Mile Jedinak mnamo dakika ya 62 kwa mkwaju wa penati.

Mechi hii imekuwa ya kwanza kushuhudiwa penati mbili ndani ya dakika 90 zikipigwa kwa pande zote.
Ushindi huu wa Ufaransa unawapa alama tatu muhimu kwenye kundi C ambapo baadaye Peru na Denmark watakuwa wanacheza pia kutoka kundi hilo.
 
Muda huu kuna mechi ina endelea  kati ya Argentina na Iceland  mabao ni  1-1 , tutaendelea kukujuza  matokeo zaidi ya mechi hii na zinazoendelea  nawe endelea  kutufuatilia hapa  https://ift.tt/2teYT44
 
 
 
 
 


Hivyo makala TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA

yaani makala yote TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/timu-ya-soka-ya-ufaransa-yaanza-vyema.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "TIMU YA SOKA YA UFARANSA YAANZA VYEMA KOMBE LA DUNIA"

Post a Comment