JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATUkiungo :
JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU
JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU
Mkutano wa 33 wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Afrika unaoendelea Jijini Nouakchott, Mauritania kwa siku mbili, leo tarehe 29 Juni, 2018 umefanya uchaguzi wa Majaji wanne wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu.
Mgombea wa Tanzania Mhe. Jaji Imani D. Aboud ameshinda uchaguzi huo kwa kura 47 kati ya kura 50 zilizopigwa na kufanikiwa kuchukua nafasi ya Jaji Solomy Balungi Bossa wa Uganda aliyejiuzulu nafasi hiyo kabla ya kumaliza kipindi chake.
Kwa ushindi huo, Mhe. Jaji Aboud atakuwa Jaji wa Mahakama hiyo akiwakilisha Kanda ya Afrika Mashariki kwa kipindi cha miaka miwili.
Majaji wengine walioshinda kwenye uchaguzi huo ni pamoja na Jaji Kioko Ben (Kenya), Jaji Tchikaye Balise (Jamhuri ya Congo), na Jaji Anukam Stella Isibhkhomen (Nigeria).
Ushindi huu unadhihirisha uwezo mkubwa alionao Mhe. Jaji Aboud na heshima kubwa iliyonayo nchi yetu katika Bara la Afrika.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dar es Salaam, 29 Juni, 2018
Hivyo makala JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU
yaani makala yote JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/jaji-imani-aboud-wa-tanzania-ashinda.html
Related Posts :
RAIS MAGUFULI AMZAWADIA PETER TINO KIWANJA NA PESA SHILINGI MILIONI 5, AFUNGUA AKAUNTI CRDB NA KUZIWEKANa Sultani Kipingo
Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Peter Tino leo amekabidhiwa shilingi Milioni 5 alizopewa na… Read More...
MWALIMU BORA DUNIANI ATOKA NCHINI KENYA
*Hutoa asilimia 80 ya mshahara wake kusaidia wanafunzi, Rais Kenyatta ampongeza
Na Leandra Gabriel, Blogu ya Jamii
MWALIMU wa hesabu… Read More...
MEYA UBUNGO AGAWA VYEREHANI 10 KWA AKINA MAMA WAJASIRIAMALI,AWAASA KUJIKWAMUA KIUCHUMIMstahiki Meya Manispaa ya Ubungo Mh,Boniface Jacob leo amegawa vyerehani kumi (10), Vya kisasa Vinavyogharimu kiasi cha Tsh Millioni 20 Kwa … Read More...
NAJIVUNIA KUONGOZA ENEO AMBALO ARDHI YAKE ASILIMIA 67 IMEPIMWA,IMESAIDIA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI- DK FAUSTINE, NDUGULILE
Naibu Waziri wa afya na Mbunge wa Kigamboni (CCM), Dk Faustine, Ndugulile, amesema anajivunia kuongoza eneo ambalo ardhi yake asilimia… Read More...
Mikataba Hoteli za Kitalii za Serikali kupitiwa
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Costantine Kanyasu amesema Serikali inapitia mikataba na makubaliano ya wawekezaji waliopewa kuendesha… Read More...
0 Response to "JAJI IMANI ABOUD WA TANZANIA ASHINDA UCHAGUZI WA MAJAJI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU"
Post a Comment