DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria.

DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria.
kiungo : DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria.

soma pia


DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria.

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akisalimiana na Waziri wa Utalii wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa barani Afrika (UNWTO), Mhe. Najib Balala walipokutana kwenye semina wakati wa mkutano wa kimataifa wa kujadili takwimu za utalii kama kichocheo cha maendeleo barani Afrika jijini Abuja nchini Nigeria Juni 4-6,2108. Dkt. Nzuki amemuwakilisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla katika mkutano huo.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce Nzuki (kulia) akiwa na Waziri wa Utalii wa Zambia, Mhe. Charles Banda katika mkutano huo.


Hivyo makala DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria.

yaani makala yote DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/dkt-nzuki-aiwakilisha-tanzania-kwenye_8.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DKT. Nzuki Aiwakilisha Tanzania Kwenye Mkutano wa UNWTO-Afrika Nchini Nigeria."

Post a Comment