YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
kiungo : YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

soma pia


YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Azzan Mussa Zungu akiongoza kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo.
 Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Dkt Mary Mwanjelwa akieleza mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa zao la korosho  linaendea kuwanufaisha wakulima Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Handeni Vijijini Mhe.Mboni Mhita  wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo.
 Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angeline Mabula akitolea ufafanuzi tofauti iliyopo kati ya shule za Serikali na Binafsi na kusisitiza kwamba mitaala ya kimataifa imeruhusiwa ili kukidhi mahitaji ya raia wa kigeni wanaoishi nchini.
 Waziri wa Fedha na Mipango Mhe.Dkt.Philip Mpango akizungumza jambo na Mbunge wa Bunda Mjini wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo.
Mbunge wa Viti Maalum Mhe.Jacqueline Ngonyani akiomba ufafanuzi kwa Serikali kuhusu ulipaji wa Mawakala wa pembejeo wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Job Ndugai akiwasalimie wabunge wakati wa utambulisho wa Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof Ibrahim Juma (kushoto)  wakati wa kikao cha thelathini na saba cha mkutano wa kumi na moja Jijini Dodoma leo.
Picha zote na Daudi Manongi, DODOMA


Hivyo makala YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

yaani makala yote YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/yaliyojiri-leo-bungeni-jijini-dodoma_25.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA"

Post a Comment