title : Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni
kiungo : Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni
Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni
Leo Ijumaa Mei 25, 2018 Spika wa Bunge Job Ndugai aliketi eneo maalumu kwa ajili ya wageni ndani ya ukumbi huo akiwa sambamba na mgeni wake, Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma.
Kikao cha Bunge kiliongozwa na mwenyekiti, Mussa Azzan Zungu ambaye alionyesha kushangazwa na kitendo hicho akidai ni jambo lisilo la kawaida.
Ndugai na mgeni wake walisimama kwa ajili ya utambulisho kama ilivyo kwa wageni wengine na kisha kushangiliwa kwa nguvu na wabunge kabla ya kuondoka wakipitia mlango wa wageni wa kawaida kisha wakazunguka kwenda ofisi ndogo ya Spika iliyopo nyuma ya ukumbi wa Bunge.
Hivyo makala Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni
yaani makala yote Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/spika-ndugai-alivyokaa-viti-vya-wageni.html
0 Response to "Spika Ndugai Alivyokaa Viti vya Wageni na Kutambulishwa Kama Mgeni"
Post a Comment