RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI

RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI
kiungo : RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI

soma pia


RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI


Na Leandra Gabriel, Blobu ya jamii

RAIS Mteule wa  Urusi Vladimir Putin wa Chama cha Independent  ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo baada ya kushinda Uchaguzi uliofanyika mapema Machi 18 mwaka huu.

Rais Putin anapata muda wa kuhudumu kwa mihula 4 zaidi, na amehudumu kama kiongozi wa Serikali kwa takribani miaka 18.

Katika uchaguzi huo Putin aliibuka na ushindi mnono wa zaidi ya asilimia 77 akiwamwaga Pavel Grudinin wa Communist party na Vladmir Zhirinovsky wa chama cha LDPR.Putin (65) alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuongoza Taifa hilo mwaka 2000.Ambapo alihudumu kwa mihula miwili na akachaguliwa kuwa waziri mkuu kwa muhula mmoja.

 Baada ya kiapo hiki  Vladimir Putin atahudumu  hadi 2024.
RAIS Mteule wa  Urusi Vladimir Putin 


Hivyo makala RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI

yaani makala yote RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/rais-vladimir-putin-wa-urusi-aapishwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI"

Post a Comment