title : Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018
kiungo : Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018
Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018
Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 inafikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018 kwa timu zote 16 kuingia viwanjani kukamilisha raundi ya 30, ambayo ndiyo itakayokamilisha jumla ya mechi 240 za msimu huu.
Mechi hizo zitachezwa kama ifuatavyo;
Lipuli vs Kagera Sugar- saa 10 kamili
Tanzania Prisons vs Singida Utd- saa 10 kamili
Ndanda vs Stand Utd- saa 10 kamili
Mtibwa Sugar vs Mbeya City- saa 10 kamili
Yanga vs Azam- saa 2 kamili usiku
Njombe Mji vs Mwadui- saa 10 kamili
Mbao vs Ruvu Shooting- saa 10 kamili
Majimaji vs Simba- saa 10 kamili
IMETOLEWA NA BODI YA LIGI KUU TANZANIA
Hivyo makala Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018
yaani makala yote Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/ligi-kuu-ya-vodacom-msimu-20172018.html
0 Response to "Ligi Kuu ya Vodacom msimu 2017/2018 kufikia tamati Jumatatu Mei 28, 2018"
Post a Comment