title : TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM
kiungo : TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM
TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM
Na Ropota Wetu,Globu ya jamii
KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),imetoa hukumu kwa vituo viwili vya radio vya Times FM na Clouds FM kwa makosa ya ukiukwaji wa kanuni za utangazaji za mwaka 2018.
Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam imesema kuwa Radio ya Times FM walitangaza mahojiano na mwanamziki Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinum.
Imeelezwa kwenye mahojiano hayo mwanamuziki huyo alitamka maneno yasiyofaa kimaudhui akimshambulia Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza.

Kuhusu Radio ya Clouds FM ni kwamba imepewa onyo kwa kutozingatia mizania ya utoaji wa habari uliohusu pande mbili ya mwanamuziki Ibrahim Musa a.k.a Roma mkatoliki na Naibu Waziri Shonza.
Hivyo makala TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM
yaani makala yote TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/tcra-yatoa-hukumu-kwa-radio-times-fm.html
0 Response to "TCRA YATOA HUKUMU KWA RADIO TIMES FM, CLOUDS FM"
Post a Comment