POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI

POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI
kiungo : POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI

soma pia


POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI

Na Mwamvua Mwinyi, Kisarawe
WATU wanne wanatuhumiwa kuwa majambazi wamefariki dunia baada ya kujibizana risasi na askari polisi ,wakati wakijaribu kufanya tukio la ujambazi katika nyumba ya Juliana Shirinde ambae ni Mhasibu wa kikundi cha vikoba Ushelisheli,wilayani Kisarawe mkoani Pwani.

Aidha jeshi la Polisi mkoani Pwani,limenasa gari ndogo yenye namba za ubalozi ambazo ni namba bandia T 17 CD 220 ambayo ilikuwa inatumiwa na majambazi kufanya uhalifu.

Akitoa taarifa ya tukio hilo la kukamatwa kwa majambazi hao, Kamanda wa Polisi mkoani humo, ( ACP) Jonathan Shanna ,amesema tukio hilo limetokea April 20 mwaka huu saa moja usiku eneo la Kibaoni wilayani hapo.

Amesema majambazi hayo yanasadikiwa yalikuwa matano wakitumia gari hilo, ambapo mmoja wao alishambuliwa kwa risasi lakini alifanikiwa kutoweka .

Kamanda Shanna, alimtaka jambazi alietoweka kujisalimisha ndani ya saa 24 .

Ameeleza zipo tetesi zinazodaiwa baadhi ya waganga wa kienyeji ,ama matabibu ambao huchukua jukumu la kuwatibu majambazi waliojeruhiwa, hivyo ametoa salamu kwao kuwa atakaebainika watamkamata na kumchukulia hatua kali za kisheria .

Kamanda wa polisi Mkoani Pwani, ( ACP )Jonathan Shanna akionyesha silaha na vitu mbalimbali, ikiwemo silaha ya kivita inayokaa na risasi 30 kwa wakati mmoja, ambazo walizikamata katika gari walilolitumia majambazi waliofanya tukio la ujambazi wilayani Kisarawe.
 Kamanda wa polisi Mkoani Pwani,( ACP ) Jonathan Shanna akionyesha gari lililotumika kufanya ujambazi Kisarawe likiwa na namba za bandia za kibalozi huku akiwa ameshika  namba halisi zilizokuwa zimewekwa ndani ya gari hiyo.
 Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoani Pwani ambaye pia ni mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo akizungumzia  tukio la ujambazi lililotokea Kisarawe na kuwahakikishia wananchi wa Mkoa huo umejipanga kudhibiti wale wasioutakia mema.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI

yaani makala yote POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/polisi-waua-majambazi-wanne-wakati.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "POLISI WAUA MAJAMBAZI WANNE WAKATI WAKIJIBIZANA KWA RISASI MKOANI PWANI"

Post a Comment