MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEOkiungo :
MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO
MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita atakuwa miongoni mwa watazamaji wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaowakutanisha Simba na Yanga.
Mchezo huo wa aina yake utachezwa leo saa 10 jioni katika dimba la Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Ofisa Habari Ofisi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam Christina Mwagala Meya huyo atakuwa miongoni mwa watazamaji wa mtanange huo mkali.
Kwa kawaida mechi ya Simba na Yanga huwa na watazamaji wengi wakiwemo viongozi mbalimbali wa Serikali na Wabunge,Ifahamike kuwa Mwita ni miongoni mwa maelfu ya mashabiki wa mpira wa miguu .
Katika mchezo huo Simba wanaingia uwanjani wakiwa wanaongoza ligi baada ya kujikusanyia pointi 59 ikicheza michezo 25 wakati Yanga wana pointi 48 wakiwa nafasi ya pili baada ya kucheza michezo 23.
Hivyo makala MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO
yaani makala yote MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/meya-jiji-la-dar-kushuhudia-mtanange-wa.html
Related Posts :
Kimataifa :Dkt. Mahiga ahutubia Chuo Kikuu cha Mambo ya Nje cha China
Wziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Chuo cha Mambo y… Read More...
YALIYOJIRI KATIKA ZIARA YA KAMISHNA WA UHAMIAJI ZANZIBAR, MKOA WA KASKAZINI PEMBA… Read More...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUAHIRISHWA KWA FAINALI ZA MISS TANZANIA 2017
Kampuni ya Lino International Agency Limited, waandaji wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania tunapenda kuwajulisha wapenzi, mashabiki na… Read More...
Matukio : Pitia Hapa Vichwa vya Magazeti ya Leo, 21:12:2017
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current News, Entertainment and Advertisements.
… Read More...
Matukio : Yaliyojiri Katika Ziara ya Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Mkoa wa Kaskazini Pemba
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Bwana Omari Khamis Othman Akizungumza na Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari M. Sururu (kulia) na… Read More...
0 Response to "MEYA JIJI LA DAR KUSHUHUDIA MTANANGE WA SIMBA, YANGA LEO"
Post a Comment