Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini

Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini
kiungo : Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini

soma pia


Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini

 WAZIRI wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohamed akizungumza na Madaktari Bingwa kutoka Nchi za Kiarabu baada ya kufika ofisini kwake Mnazimmoja kwaajili ya kuagwa baada ya kumaliza muda wa kufanya kazi Nchini.
 MENEJA  kutoka MSA Ibrahim Gamaan Girmp akiutambulisha ujumbe wa Madaktari waliofika ofisi kwa Waziri wa Afya Zanzibar kwaajili ya kuagwa baada ya kumaliza muda wao wa kufanya kazi Nchini.
 MENEJA  kutoka MSA Ibrahim Gamaan Girmp akimkabidhi zawadi Waziri wa  Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed kushoto alievaa fulana nyeusi ni Prof Abdulwahab Al Jubab  kutoka King Fahad Medical City walipofika afisini kwake kwaajili ya kuagwa baada ya kumaliza muda wa kufanya kazi Nchini.
 MENEJA  kutoka MSA Ibrahim Gamaan Girmp akimkabidhi zawadi Waziri wa  Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed kushoto alievaa fulana nyeusi ni Prof Abdulwahab Al Jubab  kutoka King Fahad Medical City walipofika afisini kwake kwaajili ya kuagwa baada ya kumaliza muda wa kufanya kazi Nchini.
WAZIRI wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Muhamed akipiga picha ya pamoja na Madaktari Bingwa kutoka Nchi za Kiarabu.(Picha na Abdalla Omar Maelezo Zanzibar).


Hivyo makala Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini

yaani makala yote Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/madaktari-kutoka-misri-wamuaga-waziri.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Madaktari kutoka Misri wamuaga Waziri wa Afya baada ya kumaliza muda wao wa kazi nchini"

Post a Comment