KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE

KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE
kiungo : KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE

soma pia


KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE


 Mwambawahabari
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Vingunguti,  Omary Kumbilamoto amewashukuru Viongozi wa Manispaa ya  Ilala  na wananchi wa Wilaya hiyo kwa  ushirikiano wao walio onesha katika kisomo cha hitima ya Mama yake mzazi iliyofanyika  Kijijini  Kauzeni Wilayani Kisarawe.


Kumbilamoto Ameyasema hayo leo Kijijini Kauzeni wakati wa Hitima ya Marehemu  Mama yake  na kuwataka  kuendelea na moyo huo wa kusaidia na kufarijiana katika wakati wa matatizo  bila kujali itikadi zao.

 "Napenda pia ni mshukuru Shekh mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, na pia nimtakie afya njema nimeambiwa anaumwa na ametuma  Mwakilishi wake , pia natoa shukrani zangu kwa mkuu wa wilaya ya Ilala Mhe.Sophia Mjema na uongozi wa Halimashauri ya Manispaa ya Ilala kwa ushirikiano wao Inshaallah Mwenyezi Mungu awazidishie "Amesema

Nao baadhi ya viongozi wa Dini na wananchi waliohudhuria hitima hiyo wamemzungumzia  Kumbilamoto la moto kuwa ni kiongozi wa tofauti anayejishusha bila kujali cheo na madaraka aliyo nayo na kuwa ni mfano wa kuigwa katika Jamii.

" Ni agharabu Sana kwa viongozi kuwa na moyo kama wa huyu Naibu Meya kwakweli mi na muombea  mwenyezi Mungu ili aweze kuambukiza na wengine  wawe na moyo kama yeye na washirikiane." Amesema mwananchi ambaye ameomba jina lake lihifadhiwe.







Hivyo makala KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE

yaani makala yote KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/kumbilamoto-atoa-neno-la-shukrani-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KUMBILAMOTO ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKIANA NAYE KATIKA MSIBA WA MZAZI WAKE"

Post a Comment