DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA.

DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA.
kiungo : DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA.

soma pia


DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA.




Mwambawahabari
 Na. John Luhende

Wazazi na walezi wameaswa kuwa linda na kuwa funzo tabia njema na maadili ya kitanzania ili kujenga Taifa imara.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala mhe. Sophia Mjema alipokuwa mgeni rasmi katika hafla ya kuchangia watoto yatima iliyo andaliwa na  Umoja wa  Wanawake wa Afrika Mashariki (VID)Volunteers In Development,  na kutoa wito kwa watu wenye uwezo kuwaalika watoto yatima  pamoja na kuwapa vitu mbali na kuwa tembelea mara kwa mara.


"Watoto hawa wanahitaji kupendwa wamekuwa mpenzi kutoka kwa wazazi tukiwatembelea  tukisalimiananao na kuwa kumbatitia  wanajihisi nao Wana wazazi na wanapendwa" alisema


Amesema watoto yatima  hawapaswi kuachwa tu jamii inatakiwa kuwapa malezi bora  kwa kufanya hivyo tuta okoa kizazi kijacho, huku akionya watu wanaposafiri maadili ya kitanzania kwa kutumia mitandao ya kijamii.

"Sisi wanawake tunayo nafasi ya kubadilisha jamii  kwa kuvaa  mavazi ya kujistiri  na kubadilisha tabia za watoto wetu wa kike wasiige mambo  yasiyo faa." alisema

Pamoja na Hayo Mjema, ametoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto yatima, ikiwemo Maji ya kunywa, Biscuits, Juice, na Mikate."Nimekuja na hi vichache  lakini Nita endelea kutoa Zaidi mKisha anza kivizungukia vituo vya watoto yatima mje tena niwapatia vitu vingine ili muwapatie hao watoto." alisema Mjema.

Kwa upande wao umoja wa wanawake hao, wame eleza lengo la umoja wao kuwa ni kutoa misaada kwa yatima na wasiojiweza kwa kuwapatia mahitaji mbalimbali wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani na sikukuu ya  Idd, ambapo katika mnada walioufanya wamechangisha zaidi ya shilingi milioni tisa.















Hivyo makala DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA.

yaani makala yote DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/dc-mjema-aitaka-jamii-kuwa-kumbuka.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DC. MJEMA AITAKA JAMII KUWA KUMBUKA WATOTO YATIMA."

Post a Comment