BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA

BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA
kiungo : BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA

soma pia


BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA

Nahodha wa timu ya Bakoba Fc akiwa amebeba Kombe la Ubingwa leo hii jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba mara baada ya kuibuka Kidedea kwa kuifunga Timu ya Ijuganyondo bao 3-0. Katika Mchezo huo Kipindi cha kwanza hakuna Timu iliyopata bao kipindi cha kwanza, Kipindi cha pili goli zote tatu zilipatikana Goli la kwanza likifungwa na Denis Msuva, Bao la pili lilifungwa na Datius Peter na bao la tatu lilifungwa na Ezekiel Izack aliyekuwa amevaa jezi namba 10.

Picha zote na Faustine Ruta, Bukoba.
Picha ya Pamoja ya Mabingwa Bakoba Fc na Mdhamini wa Ligi hiyo ya Kamala Cup 2018 pamoja na Mgeni rasmi na Viongozi wengine.
.
Kikosi cha Timu ya Bakoba kilichoanza dhidi ya Timu ya Ijuganyondo Fc
Kikosi cha Timu ya Ijuganyondo Fc kilichoanza.
Taswira mbalimbali, Kaitaba watu waliingia kwa wingi kushuhudia mtanange huo wa Fainali.


Hivyo makala BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA

yaani makala yote BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/04/bakoba-fc-mabingwa-kamala-cup-2018.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BAKOBA FC MABINGWA KAMALA CUP 2018, WAIFUNGA IJUGANYONDO BAO 3-0 KWENYE FAINALI UWANJA WA KAITABA"

Post a Comment